Bingwa wa Olimpiki na ambaye pia anashikilia rekodi ya dunia katika mbio za mita 800 mkenya David Rudisha aliambulia medali ya fedhakatika mashindano ya Jumuiya ya madola.
Amos, ambaye alishinda medali ya fedha katika mashindano ya olimpiki mjini London alimaliza mbio hizo kwa kishindo baada ya kutoka nyuma ya Rudisha na kumpiku.
Kwa kawaida, Rudisha alikuwa mbele wakati wa mbio hizo kwa mita 150 na kudhibiti mbio zenyewe kama alivyofanya alipovunja rekodi mwaka 2012.
Lakini alikiri kuwa mbio hizo hazikuwa ngumu , ila mita miamoja za mwisho ndizo zilizomtatiza na hapo ndipo Amos aliweza kumpiku Rudisha.
ASANTE KWA KUWA NASI